Friday, 23 September 2016

NGASA ASAIN FANJA FC YA OMAN





Na salama Ngale

Kiungo wa kimataifa  kutoka tz bara Mrisho Khalfan Ngasa amesain mkataba wa miaka
miwili katika klabu ya fanja nchini  Oman
Ngasa ambaye amewahi kuichezea klabu  ya yanga , kukipiga katika klabu ya simba na kupita katika klabu ya Azam aliuvunja mkataba wake wa miaka minne katika klabu ya  free state ya afrika kusin na kujiunga na mabingwa hao wa oman kwa kandareasio ya miaka miwiki

No comments:

Post a Comment