Friday, 23 September 2016

MASAMAKI:SISI TUNAKULA HARAMU KUBWA


Na salama ngale

Kuelekea mchezo wa ligi kuu soka tz bara kati ya simba sc dhidi ya maji maji
kutoka songea hii leo  kiomgozi wa naji maji bwana masamaki amesena wao wanakula haramu kubwa
"Ukitaka kula haramu kula haramu kubwa sisi hatuli panya wala tembo tunakula haramu kubwa'' Alisema masamaki

No comments:

Post a Comment