Thursday, 3 November 2016

MADRID YA KOMALIWA UEFA


 Klabu bingwa barani Ulaya imeendelea usiku wa kuamkia leo ikiwa bado katika hatua za makundi.
Mchezo wa kusisimua zaidi ukiwa kati ya Legia Warsaw dhidi ya

Wednesday, 2 November 2016

MAN CITY YAIGARAGAZA BARCELONA

UEFA: Manchester City wapata ushindi wa kusisimua dhidi ya Barcelona


manchester City celebrate
Manchester City wanahitaji kushinda mechi moja kufika hatua ya muondoano Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya baada ya kupata ushindi wa kusisimua dhidi ya miamba wa Uhispania Barcelona.

Wednesday, 19 October 2016

TAZAMA JINSI GUADIOLA ALIVYO KARIBISHWA ENGLAND


VIDEO JINSI CHELSEA ILIVYO IADHIBU LEISTER CITY KWENYE EPL


ANGALIA GOLI LA KICHUYA DHIDI YA YANGA


Tennis: Kyrgios afungiwa kucheza wiki nane

Na Salama Ngale

Muaustralia Nick Kyrgios amefungiwa kwa wiki nane na kutozwa faini ya dola za kimarekani 25,000 kwa utovu wa nidhamu-ikiwa ni pamoja na kucheza ovyo wiki iliyopita michuano ya Shaghai Masters.

Nick mwenye miaka 21 amekuwa akigongesha mpira juu ya wavu mara kadhaa katika mchezo aliofungwa Mischa Zverev kwa seti 6-3 6-1 .
Mchezaji huyo nambari 14 kwa ubora duniani ameomba radhi kwa tukio hilo na kusema atafanyia kazi wakati huu akiwa kifungoni.
Wiki iliyopita Muingereza Andy Murray alisema hafikirii kuwa faini pekee itakuwa adhabu tosha.
Mwaka 2015 Kyrgios alifungiwa siku 28 na faini ya dola 25,000 baada ya kutoa maneno ya kashfa kwa mpenzi wa Stan Wawrinka katika michuano ya kombe la Rogers.