Thursday, 3 November 2016

MADRID YA KOMALIWA UEFA


 Klabu bingwa barani Ulaya imeendelea usiku wa kuamkia leo ikiwa bado katika hatua za makundi.
Mchezo wa kusisimua zaidi ukiwa kati ya Legia Warsaw dhidi ya

Wednesday, 2 November 2016

MAN CITY YAIGARAGAZA BARCELONA

UEFA: Manchester City wapata ushindi wa kusisimua dhidi ya Barcelona


manchester City celebrate
Manchester City wanahitaji kushinda mechi moja kufika hatua ya muondoano Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya baada ya kupata ushindi wa kusisimua dhidi ya miamba wa Uhispania Barcelona.