Souare, 26, ameumia kiasi na imeelezwa kuwa atakuwepo hospitalini kwa muda kabla ya kuruhusiwa.

Mchezaji huyo ambaye alikuwemo katika kikosi cha timu yake kilichocheza dhidi ya Middlesbrough, wikiendi iliyopita anaendelea vizuri.
"Klabu inaendelea na mchakato wa kufuatilia kilichotokea, tunawapa pole familia ya Pape pamojana mchezaji mwenyewe,” ilieleza taarifa ya Palace.
Beki huyo raia wa Senegal alitua klabuni hapo akitokea Lille, Januari mwaka 2015.




No comments:
Post a Comment