
Klabu bingwa barani Ulaya imeendelea usiku wa kuamkia leo ikiwa bado katika hatua za makundi.
Real Madrid ambao ulikuwa wa piga nikupige.
Huku ikishuhudiwa Gareth Bale akifunga goli la kusisimua zaidi. Matokeo ya mwisho Legia Warsaw 3-3 Real Madrid.
Tottenham Hotspur pia ikiwa nyumbani katika dimba la Wembley ilikubali kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Bayer Leverkusen.
Matokeo ya michezo mingine
Borussia Dortmund 1-0 SportingFC Copenhagen 0-0 Leicester city
FC Porto 1-0 Club Brugge
Juventus 1-1 Lyon1
Sevilla 4-0 Dinamo Zagreb
No comments:
Post a Comment